Thursday, September 5, 2013

MWANAMKE AKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA UWANJA WA NDEGE JNIA LEO MCHANA JIJINI DAR ES SALAAM TANZANIA

Jitihada za kurejesha heshima kwa viwanja vya ndege nchini zilizoanzishwa na waziri wa uchukuzu Dk. Harisson Mwakyembe zinaonekana kuzaa matunda baada ya mwanadada kutoka nchini Nigeria Anthonia Ojo (25) kukamatwa na kete 99 za madawa ya kulevya Dar es Salaam leo.

Zifuatazo ni picha mbalimbali za tukio zima la kunaswa kwa mtuhumiwa huyo ambapo anashikiliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi wakati kete hizo zimepelekwa kwa ofisi ya Mkemia Mkuu kwa uchunguzi zaidi. 

ANTHONIA OJO AKIWASILI KITUO CHA POLISI CHA JNIA BAADA KUKAMATWA.
ANTHONIA OJO AKIELEKEA KWENYE GARI BAADA YA KUKAMATWA
http://jambotz8.blogspot.com/2013/09/mwanamke-akamatwa-na-dawa-za-kulevya.html

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...