Saturday, February 4, 2017

TAZAMA PICHA 30 BORA ZA OBAMA KATI YA MILLION 2 ALIZOPIGWA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA NANE


Pete Souza katika kipindi cha miaka 8 amempiga picha zaidi ya million 2 rais mstaafu wa Marekani. Pete ambae alikuwa mpiga picha wa familia ya Obama aliambatana nae rais huyo kwa kipindi chote cha miaka nane ya uongozi wake.
 
Tu-follow instagram@jambotz. Like page yetu ya facebook ya Jambo Tz.

Wednesday, January 25, 2017

ECOWAS WABAINI KEMIKALI YA SUMU IKULU YA GAMBIA

Rais mstaafu wa Gambia Yahya Jammeh

Askari wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (Ecowas) wamegundua kemikali ya sumu kali iliyokuwa imetegwa kwenye vyumba vya Ikulu.

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Ecowas kupitia gazeti la Freedom la Gambia, kemikali hiyo ilitegwa kwa lengo la kuua mtu yeyote atakayeingia ndani ya Ikulu hiyo.

Kutokana na hali hiyo, kiongozi mpya wa Gambia, Adama Barrow anatakiwa kuendelea kukaa Senegal kwa usalama wake huku uchunguzi ukiendelea kufanyika.

Sunday, January 1, 2017

KHERI YA MWAKA MPYA 2017

Uongozi wa Keny Pino Blog unawatakia kheri ya mwaka mpya 2017 na fanaka tele, Mwenyezi Mungu awabariki na kuwalinda siku zote. HAPPY NEW YEAR.


LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...