Saturday, August 29, 2015

RATIBA YA MECHI ZOTE ZA LEO EPL HII HAPA


Leo kuna michezo kadhaa inapigwa kwenye ligi kuu ya England marufu kama EPL ikiwa ni mwendelezo wa kumsaka bingwa mpya wa msimu huu sambamba na timu zitakazoshiriki Champions League msimu ujao na zile zitakazodondokea kwenye michuano ya UEFA Europer League.

Ratiba ya michezo itakayopigwa leo ni hii hapa, angalia timu unayoishabikia itacheza na timu gani na muda gani

MUDA: (ni kwa saa za Uingereza)

No comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...