Tuesday, April 19, 2016

MAGUFULI ATINGA CRDB KAMA RAIA WA KAWAIDA...!!!

Rais John Pombe Magufuli akiondoka katika benki ya CRDB, Tawi la Holland baada ya kumaliza shughuli iliyompeleka.

Rais John Pombe Magufuli akiwapungia wananchi mkono wakati akiondoka katika benki ya CRDB, Tawi la Holland. 

Wakati akikaribia kuingia ndani ilibidi baadhi ya wateja waliyokuwa wakijiandaa kuingia ndani ya benki hiyoi wazuiwe kuingia huku huduma ikiendelea tu kwa wale ambao waliyokwishaingia. Like page yetu ya facebook Jambo Tz. tu-follow instagram @jambotz.
Aidha, baada ya kuingia ndani baadhi ya wateja wa tawi hilo na wananchi wengine walibaki wakishangaa huku wengine wakijiuliza imekuwaje Rais kuingia benki kwa sitaili ile. Baadhi ya wananchi walisema hawajaona tukio kama lile kwa Marais wote waliyopita.

James Charles, ambaye ni dereva wa taxi, alisema baadhi ya wananchi waliyokuwa kwenye eneo hilo baada ya kuona ulinzi unaimarishwa walishituka na mara wakamuona Rais Magufuli akishuka kwenye gari, hali iliyowafanya wafikirie anakwenda kutembelea ofisi yake ya zamani.

“Lakini kufumba na kufumbua tukamuona anaelekea kwenye benki ya CRDB, tukajiuliza vipi rais leo kaamua kuwa kama mteja? Hata hivyo tujui kama hiyo ilikuwa inawezekana. Lazima kutakuwa na kitu. Haiwezekani aende akachukue fedha kwa utaratibu ule. Ngoja tusubiri tutasikia amefuata nini,” alisema Charles.

Joyce Godwin ambaye ni mwanafunzi wa chuo kimojawapo cha elimu ya juu alisema kuja kwake kumewashtua wafanyakazi wa tawi la benki hiyo kwani walidhani alikwenda pale kwa ajili ya kutumbua majipu.

“Mimi wakati Rais Magufuli anaingia nilikuwepo ndani kwenye foleni nikisubiri huduma. Kwa ujumla kila mmoja wetu alishituka lakini hatukujua kilichomleta,” alisema. Like page yetu ya facebook Jambo Tz. tu-follow instagram @jambotz.

MAAJABU: VIETJET AIR NDEGE AMBAYO WAHUDUMU WAKE HUVAA BIKINI...!!!

icghfhec

iegfehbi

jahjhcbj 

Kampuni ya Ndege ya VietJet Air ya nchini Vietnam imejizolea umaarufu mkubwa nchini humo kutokana na kutoa huduma kwa watalii kwa mfumo wa tofauti na makampuni mengine nchini humo. Huduma ambazo zinatolewa katika ndege hiyo ni pamoja na wahudumu wa ndege kuvaa bikini pindi wanapokuwa wanawahudumia watalii wanapokuwa safarini kuwapeleka sehemu ya kitalii Nha Trang. 
   
Licha ya Mamlaka ya Anga ya Vietnam kuwapiga faini ya Dola 960 ( Mil. 2.1kwa pesa ya Kitanzania) kwa wahudumu wao kuvaa bikini bila ya kuwa na kibali lakini bado wameendelea kutoa huduma kwa mfumo huo na kuwafanya kuzidi kujizolea umaarufu mkubwa na kujiingizia faida zaidi. Like page yetu ya facebook Jambo Tz. tu-follow instagram @jambotz.

ANGALIA PICHA ZA MUONEKANO WA DARAJA LA JIPYA LA KIGAMBONI




Hatimaye ile ndoto ya muda mrefu ya Watanzania kuona daraja la Kigamboni likikamilika imewadia baada ya ujenzi ulioanza mwaka 2012 kukamilika na kesho Aprili, 19 linataraji kuzinduliwa na Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.


Like page yetu ya facebook Jambo Tz. tu-follow instagram @jambotz.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...