Friday, August 23, 2013

MUNGU ALINIAMURU NIJIUZULU, ASEMA PAPA BENEDICT XVI

pope_37848.jpg
Rome, Italia. Miezi sita baada ya kujiuzulu, Papa Benedict XVI, amefungua mdomo na kueleza sababu za kufikia uamuzi huo wa kushangaza. Jana, vyombo vya habari vilimkariri Papa Mstaafu Benedict akimweleza mgeni wake kuwa aliitwa na Mungu kwa miujiza. P.T

Kiongozi huyo ambaye alishangaza watu kwa uamuzi huo wa Februari 8, mwaka huu, hata hivyo alisema sauti ya Mungu imejibu kupitia kwa mfuasi wake, Papa Francis. Papa Benedict alitangaza uamuzi wa kujiuzulu Februari 11, maelezo yake yalielekeza katika afya yake. Alisema nguvu zake zilikuwa zimepungua kiasi cha kutokuweza kumudu majukumu yake ipasavyo. Alisema, "Mungu aliniambia 'niondoke,' nami nikatimiza wajibu huo bila kusita," alisema Papa Benedict ambaye amekuwa kiongozi wa kwanza kufikia uamuzi huo baada ya miaka 600 ya Kanisa Katoliki. Alisema tangu wakati huo ameishi maisha ya sala.

Mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 86 alisema ameshuhudia maono ya Mungu kwa miezi kadhaa huku akisikia sauti na tamaa ya kuendelea kuwa karibu naye (Mungu). Papa Benedict, hata hivyo alisema Mungu amembariki na kumwezesha kuuona utukufu wake kupitia kwa Papa Francis, akielewa kwa nini alitakiwa kuondoka mapema kwa kuitika sauti na utashi wa Mungu. Tembelea http://jambotz8.blogspot.com/ kila siku.

ANGALIA PICHA ZA RAIS ROBERT MUGABE WA ZIMBABWE ALIPOKULA KIAPO JANA

 Rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe akila kiapo cha kuongoza nchi hiyo kwa miaka mitano ijayo katika sherehe zilizofana sana katika Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare Agosti 22, 2013
  Rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe akivishwa shada na medali baada ya kula kiapo cha kuongoza nchi hiyo kwa miaka mitano ijayo katika sherehe zilizofana sana katika Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare Agosti 22, 2013

MAGAZETI YA LEO IJUMAA AGOSTI 23, 2013

DSC 0244 1381a
DSC 0245 1e04d
DSC 0246 6641c
DSC 0247 c1c16
DSC 0248 7adf6

TOTTENHAM HIT TBILISI FOR FIVE IN EUROPA LEAGUE QUALIFYING MATCH

Roberto Soldado: Hit two for Tottenham
Roberto Soldado: Hit two for Tottenham
Tottenham are all but assured a spot in the Europa League proper after a convincing 5-0 win against Dinamo Tbilisi in Georgia.

Andros Townsend put on an impressive display that Gareth Bale would have been proud of.

The 22-year-old scored a superb solo goal to start the rout and he outpaced his marker to supply the assists for Roberto Soldado's first goal of the night and Paulinho's maiden strike for the club.


Danny Rose scored his first goal for Tottenham since his wonder strike against Arsenal in 2010 and Soldado added a second to round off the victory which almost certainly guarantee's Spurs' progression to the group stages of the competition.

Even though he was some 2,200 miles away from London, Andre Villas-Boas could not escape questions about Bale in the run up to the game, and having seen technical director Franco Baldini despatched to Madrid last night, it appears Spurs are resigned to losing their star man.

CHELSEA MAY SCUPPER TOTTENHAM'S HOPES OF SIGNING WILLIAN

Willian: Anzhi Makachkala midfielder is in talks with both Chelsea and Tottenham

Chelsea are in advanced talks to sign Tottenham target Willian from Anzhi Makachkala according to Sky sources.

The Stamford Bridge club have made their move after London rivals Tottenham held talks with Willian earlier on Thursday.
Spurs were ready to splash £30m on the midfielder, who has been offered a five-year contract at White Hart Lane. But the 25-year-old, who was also linked with Liverpool earlier in the summer, appears to be keeping his options open.
Chelsea have already been busy in the summer transfer window with forward Andre Schurrle arriving from Bayer Leverkusen for £18m. The Blues also splashed around £8m on Marco van Ginkel from Vitesse Arnhem, and £3m on fellow midfielder Cristian Cuevas.Source:Skysports.com

JOSE MOURINHO SAYS CHELSEA WILL WAIT TO MAKE FRESH MOVE FOR WAYNE ROONEY

Wayne Rooney: remains a target for Chelsea but there will be no fresh bid before Monday

Jose Mourinho has announced that Chelsea will wait until after Monday's Premier League match with Manchester United to make a third approach for Wayne Rooney. Chelsea have identified Rooney as their primary transfer target of the summer but have so far had two offers for the striker rebuffed.



United remain adamant that the England international is not for sale and he made an appearance as a substitute in Saturday's 4-1 victory over Swansea City. The Blues are expected to test United's resolve yet again, but Mourinho insists it would not be appropriate to make a move before Monday's meeting between the sides at Old Trafford. "I think this period, by the ethical point of view, is a period where we're going to be quiet."

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...